10. Baadhi ya wafugaji
waliohudhuria Bungeni wakizaungumza na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC)
baada ya kuahirishwa kwa Bunge.
|
. Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge, Christopher Ole Sendeka, akijibu hoja za wabunge kuhitimisha mjadala.Kamati hiyo iliundwa kuchunguza na kuchambua Sera mbalimbali zinazohusu masuala ya Aridhi, Kilimo, Mifugo,Maji na Uwekezaji ili kubaini kasoro zilizomo katika matumizi ya Ardhi.
. Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maenedeleo ya
Makazi na Mbunge wa Mbunge wa
Manyoni Mashariki, Kapteni Mstaafu John Chiligati,
akichangia hoja.
Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo, akichangioa taarifa ya kamati teule
. Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA) Sabrina Sungura
aichangia hoja.
Mbunge wa Gando, Khalifa Suleiman akichangia taarifa.
Wabunge wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge baada ya mkutano wa Bunge kuahirishwa
Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Charles Mwijage, akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda(kulia)
baada ya Bunge kuahirishwa.Katikati ni Mbunge wa Viti
maalum (CCM) mkoa wa Singida Diana Mkumbo Chilolo.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali,
Jaji George Masaju akibadilishana mawazo na Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Martha
Mlata.
Comments