COASTAL UNION 0 VS SIMBA 0




MPIRA UMEKWISHAAAAA...
Dk 90, Mtindi anawatoka mabeki wa Simba lakini mwenye anaanguka na Juuko anauwahi mpira na kuukoa.

Dk 89 Simba inamtoa Danny Sserunkuma na Ajibu Salum anaingia


Dk 86 Itubu anaingia kuimarisha safu ya ushambuliaji ya Coastal Union

Dk 85, Maguri anapiga shuti hata hivyo ni nyanya na linatoka nje
Dk 75&81 zaidi mpira unaendelea kuchezwa katikati ya uwanja. Hakuna hata shuti moja wala shambulizi kubwa zaidi ya makipa kudaka mipira ya kurudishiwa au iliyowazidi nguvu washambuliaji wa timu pinzani.

Dk 79, Simba wanamtoa Simon Sserunkuma na kumuingiza Rama Singano 'Messi'.

Dk 71&73 zaidi mpira unachezwa katikati ya uwanja huku Coastal Union wakiitawala zaidi sehemu ya katikati ya uwanja kwa viungo wake kuonana vizuri.

Dk 62 Coastal wanamuingiza Mohammed Mtindi badala ya Obinna aliyeumia

Dk 55, pasi nzuri ya Obinna lakini Murshid anajitokeza na kuokoa vizuri.


Dk 50, Danny Sserunkuma anapata nafasi nzuri lakini anashindwa kuitumia na kupaisha mpira juu.


Dk 47, shambulizi kali la kwanza na Hussein Sued anawageuza mabeki wa Simba ndani ya eneo la 12 na kupiga shuti kali linalodakwa na kipa Ivo Mapunda.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.