Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Naseeb 'Diamond Platnamz' akifanya vitu vyake wakati wa maadhimisho ya miaka 38 ya CCM kwenye Uwanja wa Maji Maji, mjini Songea leo, mbele ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (hayupo pichani)
Ndege iliyo kulia ndiyo iliyokodiwa na mwanamuziki Diamond kumpeleka Songea na kurudi nayo Dar
Diamond akiwasili na mpenzi wake Zari pamoja na kundi lake kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea tayari kutoa burudani kwenye maadhimisho ya miaka 38 ya CCM
Wakikimbilia kwenda kuona burudani iliyokuwa inatolewa na Diamond kwenye maadhimisho hayo
Mkuu wa Wilaya ya Songea , akiwa na mtoto aliyekanyagwa wakati watu wakikimbilia kumuona Diamond
Mmoja wa Chipukizi wa CCM akiokolewa ili asikanyagwe wakati Diamond akifanya shoo
Sehemu ya umati wa watu wakishuhudia shoo ya Diamond
Wakazi wa Songea wakigombea kumuona Diamond akifanya vitu vyake
Ni shoo kwa kwenda mbele
Mmoja wa watoto wa chipukizi akiwa amebebwa akipelekwa kupata huduma ya kwanza baada ya kubinywa na watu waliokuwa wakikimbilia kuangalia shoo ya Diamond
Ndege iliyo kulia ndiyo iliyokodiwa na mwanamuziki Diamond kumpeleka Songea na kurudi nayo Dar
Diamond akiwasili na mpenzi wake Zari pamoja na kundi lake kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea tayari kutoa burudani kwenye maadhimisho ya miaka 38 ya CCM
Wakikimbilia kwenda kuona burudani iliyokuwa inatolewa na Diamond kwenye maadhimisho hayo
Mkuu wa Wilaya ya Songea , akiwa na mtoto aliyekanyagwa wakati watu wakikimbilia kumuona Diamond
Mmoja wa Chipukizi wa CCM akiokolewa ili asikanyagwe wakati Diamond akifanya shoo
Sehemu ya umati wa watu wakishuhudia shoo ya Diamond
Wakazi wa Songea wakigombea kumuona Diamond akifanya vitu vyake
Ni shoo kwa kwenda mbele
Mmoja wa watoto wa chipukizi akiwa amebebwa akipelekwa kupata huduma ya kwanza baada ya kubinywa na watu waliokuwa wakikimbilia kuangalia shoo ya Diamond
Comments