HIVI NDIVYO ALIVYOPUMZISHWA NTAGWABIRA, KOCHA ALIYEFARIKI MWEZI TU BAADA YA KUTAKIWA NA SIMBA



Mchezaji wa zamani na kocha wa timu ya taifa ya Rwanda ‘Amavubi’, Jean Marie Ntagwabira amezikwa juzi katika makaburi ya kijeshi jijini Kigali, Rwanda.
WATOTO WA MAREHEMU WAKITOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO


Mwezi mmoja kabla ya kifo chake, Ntagwabira aliwaniwa na Simba lakini mwisho nafasi yake akaitwaa Goran Kopunovic ambaye pia aliiambia SALEHJEMBE kushitushwa na kifo chake.
NTAGWABIRA WAKATI WA UHAI WAKE.
Mchezaji wa zamani na kocha wa timu ya taifa ya Rwanda ‘Amavubi’, Jean Marie Ntagwabira amezikwa juzi katika makaburi ya kijeshi jijini Kigali, Rwanda.

Ntagwabira ,41, amefariki dunia akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa mapafu uliofanya ashindwe kupumua.
Mazishi yake yalihudhuriwa na maofisa mbalimbali wa jeshi pamoja na wanamichezo mbalimbali wakiwemo makocha na wachezaji wa timu ya APR.
Wakati wa mazishi yake, Rais wa Shirikisho la Soka la Rwanda (Ferwafa), Vincent Nzamwita alitoa pole kwa wafiwa, wadau wote wa soka la Rwanda pamoja na familia ya marehemu.
 
WACHEZAJI WA APR
Lakini Shirikisho hilo pia likaahidi kuwasomesha watoto wa marehemu kwa kiwango chote cha elimu watakachofikia.
Ntagwabira ,41, amefariki dunia akiwa anasumbuliwa na ugonjwa wa mapafu uliofanya ashindwe kupumua.
Mazishi yake yalihudhuriwa na maofisa mbalimbali wa jeshi pamoja na wanamichezo mbalimbali wakiwemo makocha na wachezaji wa timu ya APR.
 
MAOFISA WA JESHI
Wakati wa mazishi yake, Rais wa Shirikisho la Soka la Rwanda (Ferwafa), Vincent Nzamwita alitoa pole kwa wafiwa, wadau wote wa soka la Rwanda pamoja na familia ya marehemu.
Lakini Shirikisho hilo pia likaahidi kuwasomesha watoto wa marehemu kwa kiwango chote cha elimu watakachofikia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA