Wananchi wakilishangaa jengo lililokuwa likiteketea kwa moto la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lenye ghorofa mbili, Kitalu namba 1809/88, makutano ya Mitaa ya Libya na Mosque, Kitumbini, Dar es Salaam. Chanzo cha moto huo, kimeelezwa kuwa ni hitilafu ya umeme. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Askari wa Kikosi cha Zimamoto, wakiwa kazini kuuzima moto uliokuwa ukiwaka kutokana na kilichoelezwa kuwa hitilafu ya umeme, kwenye jengo la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lenye ghorofa mbili, Kitalu namba 1809/88, makutano ya Mitaa ya Libya na Mosque, Kitumbini, Dar es Salaam
Askari wa Kikosi cha Zimamoto, wakiwa kazini kuuzima moto uliokuwa ukiwaka kutokana na kilichoelezwa kuwa hitilafu ya umeme, kwenye jengo la Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), lenye ghorofa mbili, Kitalu namba 1809/88, makutano ya Mitaa ya Libya na Mosque, Kitumbini, Dar es Salaam
Comments