KUSHEHEREKEA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM MGENI RASMI RIDHIWANI KIKWETE AINGIA NEW YORK


 
TICKETS ON SALE NOW FOR $40 *** THEY WILL BE MORE AT THE DOOR $50
SEATED 3 -COURSE DINNER
FIRST CLASS SERVICE
RED CARPET PAPARAZZI 
DRESS READY FOR ACTION
HIGH LEVEL SECURITY 
@RICH RICH PALACE
11019 ATLANTIC AVENUE RICHMOND HILL NY 11418
**********************************************************
PESA UNAYONUNULIA TICKET UNAPATA CHAKULA NA SOFT DRINKS KAZI KWAKO WAHI TICKET YAKO MAPEMA KWA $40 KWANI MLANGONI SIKU YA SHEREHE NI $ 50.
MH. Ridhiwani Kikwete akiwa na wenyeji wake viongozi wa Tawi la CCM New York wakiongozwa na Mwenyekiti wa tawi Bwana Seif Akida Baada ya kumpokea Uwanja wa Ndege wa JFK tayari kwa Sherehe za Miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM kesho mambo ya meiva kazi kwenu Watanzania wote popote mlipo Mnaombwa kujitokeza kwa nguvu na umoja hiyo kesho  siyo Chadema wala  CUF  Utanzania kwanza kuanzia saa  12 jioni hadi majogoo kula kunywa na kucheza kwa Dollar 40 tu...
 Mh. Ridhiwani akifurahia jambo na wenyeweji wake uwanjani hapo baada ya kupokelewa. Kwa Picha zaidi nenda soma zaidi.
Kwa picha Zaidi tembelea http://tembaphoto.com/

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.