Mwenyekiti wa Jumuiya ya Elimu
Zanzibar (ZEDO) Ussi Said Suleiman akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu
ya Social Media huko Chuoni kwao Mwanakwerekwe Mjini Zanzibar.
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Abdallah Mwinyi Khamis (alie simama) akiwahutubia washiriki wa mafunzo
ya siku tatu ya matumizi ya Mitandao ya kijamii (Social Media), hawapo
pichani yaliyoandaliwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Elimu Zanzibar kwa
kushirikiana na Kigamboni Community Centre KCC kutoka Dar es Salam, huko
Chuoni kwao Mwanakwerekwe Mjini Zanzibar.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo wakimskiliza Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis (hayupo pichani).
Mgeni rasmin Mkuu wa Mkoa wa Mjini
Magharibi Abdallah Mwinyi Khamis (wakatikati) waliokaa katika picha ya
pamoja na washiriki wa mafunzo ya siku tatu ya matumizi ya Mitandao ya
kijamii (Social Media).
Picha na Makame Mshenga wa Maelezo Zanzibar.
Comments