MBEYA CITY, AZAM FC ZABANWA, ZAAMBULIA SARE


Kweli Ligi Kuu Bara ngumu, Azam FC na Mbeya City, kila moja ikiwa ugenini imebanwa na kujikuta ikiambulia sare.

Ruvu JKT 1-1 Mbeya City
Bao la JKT limefungwa na Ally Bilal katika kipindi cha kwanza wakati la Mbeya City limefungwa na Kenny Ally aliyesawazisha katika kipindi cha pili.
Polisi 2-2 Azam FC

Mabao ya Azam FC yamefungwa na pacha Kipre Tchetche katika dakika ya 10 na Kipre Bolou.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.