MKUTANO WA KUJADILI NAMNA YA KUKABILIANA NA MAAFA MBALIMBALI WAFANYIKA ZANZIBAR.

      

1
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipoingia katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
2
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akisalimiana na Command Surgeo Usafricom Philip C Knight Sheen alipoingia katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
3
Baadhi ya Viongozi wa Nchi Tano za mataifa mbalimbali walioshiriki katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar
4
Command Surgeo Usafricom Philip C Knight Sheen akitoa hotuba yake katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
5
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohd kitoa hotuba yake katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
6
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akitoa hotuba katika mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.
7
Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akiwa katika Picha ya pamoja na Viongozi wa Nchi tano za mataifa mbalimbali waliohudhuria mkutano wa kujadili namna ya kujiandaa kukabiliana na maafa mbalimbali yanayoweza kutokea Mkutano uliofanyika Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mbweni Zanzibar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA