Zlatan
Ibrahimovic ameandika majina hamsini mwilini mwake kupitia michoro ya tatuu.
Hayo
ni majina ya watu wenye matatizo ya njaa au chakula.
Shirika
la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) linasaidia watu milioni 805 na Zlatan
ameamua kujichora hao 50 mwilini mwake.
Mshambuliaji
huyo wa PGS ya Ufaransa, raia wa Ufaransa Sweden amekuwa akiiunga mkono WFP
kutokana na kazi hiyo ya kuwasaidia wenye matatizo ya chakula cha kutosha.
Comments