MWILI WA ZLATAN UNA MAJINA YA WATU 50 WENYE NJAA



Zlatan Ibrahimovic ameandika majina hamsini mwilini mwake kupitia michoro ya tatuu.

Hayo ni majina ya watu wenye matatizo ya njaa au chakula.

Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) linasaidia watu milioni 805 na Zlatan ameamua kujichora hao 50 mwilini mwake.

Mshambuliaji huyo wa PGS ya Ufaransa, raia wa Ufaransa Sweden amekuwa akiiunga mkono WFP kutokana na kazi hiyo ya kuwasaidia wenye matatizo ya chakula cha kutosha.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.