KATIBU wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mkoa wa Pwani Ridhiwani Kikwete,
Idd Swala (mwenye kibaraghashia) akimkabidhi Maria Stephano mmoja wa
watu waliopatwa na kadhia ya kubomolewa kwa nyumba wanayoishi kufuatia
upepo mkali ulioambatana na mvua kidogo ambayo imebomoa nyumba kadhaa
na kujeruhi baadhi ya wakazi ambao ni zaidi ya 131, (mwenye suti
nyeusi) kulia ni ofisa Mtendaji Kata ya Msoga Mtamani Hassan, kila
mkazi aliyepatwa na kadhia hiyo kati ya hao 131 alipata mchele kilo 5,
unga kilo 5, maharage kilo 5 na sukari kilo 1. (PICHA NA OMARY SAID).
Idd Swala (mwenye kibaraghashia) akimkabidhi Maria Stephano mmoja wa
watu waliopatwa na kadhia ya kubomolewa kwa nyumba wanayoishi kufuatia
upepo mkali ulioambatana na mvua kidogo ambayo imebomoa nyumba kadhaa
na kujeruhi baadhi ya wakazi ambao ni zaidi ya 131, (mwenye suti
nyeusi) kulia ni ofisa Mtendaji Kata ya Msoga Mtamani Hassan, kila
mkazi aliyepatwa na kadhia hiyo kati ya hao 131 alipata mchele kilo 5,
unga kilo 5, maharage kilo 5 na sukari kilo 1. (PICHA NA OMARY SAID).
Comments