Warsha ya Mafunzo ya kuandaa vigezo vya mikakati ya Kitaifa ya kupunguza Gesijoto Mkoani Bagamoyo.

Mkurugenzi wa Idara ya Mazingira, Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu (katikati)  ambaye pia ni Mgeni Rasmi katika  Warsha ya Mafunzo ya  kuandaa vigezo vya mikakati ya Kitaifa ya kupunguza Gesijoto,  akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Warsha hiyo njee ya Ukumbi wa Stella Maris Mkoani  Bagamoyo leo . Kulia kwake ni Mkufunzi kutoka UNDP- New York,  Dk. Deborah Cornland na kushoto  kwake ni Mkufunzi kutoka Carboni Africa- Nairobi  Faith Nangabo. (Picha na OMR)

Mkurugenzi  Idara ya Mazingira, Ofiisi ya Makamu wa Rais, Dk. Julius Ningu akifungua  Warsha ya Mafunzo ya kuandaa vigezo vya mikakati ya Kitaifa ya kupunguza Gesijoto Mkoani Bagamoyo leo . wa kwanza kushoto  ni Mtaalam wa Nishati na Mabadiliko Tabianchi kutoka UNDP- Dar es Salaam, Bw. Abbas Kitogo na wa kwanza  kulia  ni Dk. Deborah Cornland kutoka UNDP- New York.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*