WAZIRI WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII, MHE LAZARO NYALANDU ALIPOZUNGUMZA NA WAJUMBE WA KAMATI YA MALIASILI, ARDHI NA MAZINGIRA YA NORWAY

 
 Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ( katika kati) akimsikiliza  Mwenyekiti wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola  Elvestuen  (kushoto) wakiwa na Balozi wa Norway Nchini Tanzania, Bi.  Hanne-Marie Kaarstad, (kulia) Kabla ya Mkutano  wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway  uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam.
 Waziri waWizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway kwenye Mkutano   uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway, Mhe. Ola  Elvestuen  ( kushoto) akimkabidhi zawadi Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu baada  ya Mkutano  wa Kamati ya  Bunge ya Maliasili, Ardhi na Mazingira ya Norway uliofanyika Mpingo House jijini Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.