ZOURHA MALISA NA ZURI WA 100.5 TIMES FM RADIO KUWA MWILI MMOJA

 Mtayarishaji wa Vipindi wa Radio FM, Zourha akimkabidhi zawadi ya Laptop mume wake mtarajiwa  ambaye pia ni Mtalaamu wa IT wa kituo hicho, George Zuri wakati wa sherehe ya kuagwa jana kwenye Ukumbi wa Quality Centre, Dar es Salaam.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Bibi Harusi mtarajiwa, Zourha akilia baada ya kuagwa na babake, Malisa kushoto
 Zourha akiwapatia keki wazazi wake wakati wa sherehe hiyo
 Wafanyakazi wenzie na baba wa Zourha, Mzee Malisa kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakiwa na furaha wakati wa sherehe hiyo
 Zourha na mpambe wake Mary Thomas wakicheza muziki
 Zourha na mpambe wake Mary Thomas

 Shampain ikifunguliwa
 Zourha akigongeana glasi za champain na wageni waalikwa kwenye sherehe hiyo
 Zourha akicheza ngoma ya asili ya kabila la wanyaturu  na ndugu jamaa na marafiki pamoja na wageni waalikwa
 Zourha akicheza muziki namarafiki zake
 Zourha akizawadiwa na wazazi wake ramani ya nyumba na sh, mili 5 za kusaidia ujenzi wa nyumba


 Mzee Malisa akikata keki aliyoandaa kwa ajili ya sherehe hiyo
 Bwana harusi mtarajiwa George Zuri akiwa katika picha ya pamoja na mkewe mtarajiwa Zourha pamoja na shemeji yake
 Zourha na George wanapendeza
 Mzee Malisa akipiga picha na mkewe (kushoto) Zourha (kulia0 na mwanawe mwingine
 Zourha akizwadiwa
 Zourha akicheza muziki na waandishi wa habari wa gazeti la Majira aliuwahi fanya nao kazi kabla ya kuhamia Times Fm Radio
Zourha akiagwa na waandishi wa habari wa Majira

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI