Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akinyonya dawa kwenye chupa wakati
aliposhiriki katika kazi ya kutibu mifugo kwenye mradi wa Ufugaji wa
Ng’ombe Madume ya Mbegu Bora katika kijiji cha Ketumbeine wilayani
Longido mkoani Arusha, akiendelea na ziara yake ya kikazi katika mkoa wa
Arusha yenye lengo la Kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM
ya mwaka 2010 na kuhimiza uhai wa chama, Katika ziara hiyo Kinana
anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,
anayeshuhudia tukio hilo kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Ndugu Onesmo Ole Nangole(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-LOMGODO-ARUSHA) Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimtibu kwa kumchoma sindano shingoni wakati alipotembelea mradi wa Ufugaji wa Ng’ombe Madume ya Mbegu Bora katika kijiji cha Ketumbeine wilayani Longido mkoani Arusha Mkuu
wa wilaLongido mkoani Arushan Ernest Kahindi akiupokea msafara wa
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati alipowasili katika
kijiji cha Ketumbeine wilayani Longido tayari kwa kukagua miradi. Akina mama wa Kimasai wakiwa wamejipanga mstari wakimsubiri Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati alipowasili katika kijiji cha Ketumbeine Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi wakati alipowasili katika kijiji cha Ketumbeine. Kikundi cha ngoma cha akina mama wa kimasai kikitumbuiza. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi . Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi katika kijiji Lesingeita Mundarara wakati alipokagua ujenzi wa nyumba ya watumishi wa Afya. Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa nyumba
ya watumishi wa afya katika kijiji Lesingeita Mundarara wakati, Kulia
ni Mbunge wa jimbo la Longido Michael Lekule. .Baadhi ya ng’ombe madume bora. Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na mkuu wa wilaya ya
Longido Ernest Kahindi na Nape Nnauye wakati alipowasili katika kijiji
Lesingeita Mundarara. Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na mbunge wa jimbo la Longido Mh.
Michael Lekule wakiakishiriki kupaka rangi katika majengo ya kituo cha
mafunzo cha LIL Learning Centre. mjini Longido. Baadhi majengo ya kituo hicho. Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizweka jiwel la msingikatika
nyumbo ya kitega uchumi ya mjasiriamali mjini Longido. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Ndugu Onesmo Ole Nangole. Mbunge wa jimbo la Longido Mh. Michael Lekule akizungumza na wananchi katika kijiji cha Eworendeke wilayani Longodo. Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano huo. Nape Nnauye akizungumza na wananchi katika mkutano uliofanyika katika kijiji cha Eworendeke wilayani Longido. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipokea kadi na bendera kutoka kwa Bw. Oscar Longido aliyekuwa mwenyekiti wa Chama hicho Namanga aliyejiunga na CCM. wakati wa mkutano huo.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akijadili jambo na Nape Nnauye Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi katika kijiji cha Eworendeke. Baadhi ya akina mama wakicheza ngoma
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, Hawa wanapatikana kusini mwa Tanzania ni kab
Comments