Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa ngoma ya kabila la Watemi (Wasonjo) alipowasili katika Kijiji cha Samunge, wilayani Ngorongoro, aliposhiriki ujenzi ujenzi wa vyumba vya madarasa ya kidato cha nne na cha tano katika Shule ya Sekondari ya Samunge wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Komredi Kinana akiangalia ngoma wakati wa mapokezi katika mkutano wa hadhara mjini Wasso, wilayani Ngorongoro.
Vijana wa jamii ya kimasai wakitumia simu kupiga picha wakati Komredi Kinana akihutubia katika KJijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.
Komredi Kinana akivishwa pambo lenye shanga katika Kijiji cha Ngaresero
Mmoja wa wanachama wapya wa CCM akipatiwa kadi na Komredi Kinana baada ya kujiunga katika Kijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.
Komredi Kinana akisaidiana na Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro, Telele kujenga vyumba vya madarasa ya kidato cha nne na cha tano katika Shule ya Sekondari Samunge, wilayani Ngorongoro
Komredi Kinana (wa pili kulia)akishiriki ujenzi wa tanki la katika Kijiji cha Sakala, wilayani Ngorongoro
Wajumbe wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ngorongoro wakiwa katika mkutano na Komredi Kinana mjini Loliondo
Komredi Kinana akizungumza katika mkutano huo
Komredi Kinana akiingia kwenye mkutano wa hadhara katika Mji wa Waso, wilayani humo
Katibu Mkuuu wa CCM, Kinana akikumbatiana na Revocatus Parapara aliyeihama Chadema na kujiunga na CCM. Parapara alikuwa Mwenyekiti wa Chadema wa wilaya hiyo.
Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara
Komredi Kinana akipatiwa zawadi ya fimbo
Kinana akihutubia katika mkutano huo
Komredi Kinana akiangalia ngoma wakati wa mapokezi katika mkutano wa hadhara mjini Wasso, wilayani Ngorongoro.
Vijana wa jamii ya kimasai wakitumia simu kupiga picha wakati Komredi Kinana akihutubia katika KJijiji cha Ngaresero, wilayani Ngorongoro.
Komredi Kinana akivishwa pambo lenye shanga katika Kijiji cha Ngaresero
Komredi Kinana akisaidiana na Mbunge wa Jimbo la Ngorongoro, Telele kujenga vyumba vya madarasa ya kidato cha nne na cha tano katika Shule ya Sekondari Samunge, wilayani Ngorongoro
Komredi Kinana (wa pili kulia)akishiriki ujenzi wa tanki la katika Kijiji cha Sakala, wilayani Ngorongoro
Wajumbe wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Ngorongoro wakiwa katika mkutano na Komredi Kinana mjini Loliondo
Komredi Kinana akizungumza katika mkutano huo
Komredi Kinana akiingia kwenye mkutano wa hadhara katika Mji wa Waso, wilayani humo
Katibu Mkuuu wa CCM, Kinana akikumbatiana na Revocatus Parapara aliyeihama Chadema na kujiunga na CCM. Parapara alikuwa Mwenyekiti wa Chadema wa wilaya hiyo.
Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara
Kinana akihutubia katika mkutano huo
Comments