Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Mji wa Himo, Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro ikiwa ni mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye, amewaasa wananchi kuacha kujiunga na vyama vya upinzani ambavyo havina uwezo wa kuwasaidia kutatua kero zao, bali wajiunge na CCM yenye uwezo wa kutatua kero zao kwani ndo chama kinachoongoza serikali. Pia Kinana ameseam kuwa Umoja wa Vyama hivyo wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) katika uchaguzi ujao utageuka kuwa UKIWA akidai CCM itashinda kwa Kishindo.
Komredi Kinana akisalimiana na Kamanda wa Vijana wa CCM Wilaya ya Moshi Vijijini alipowasili Kahe Magharibi kushiriki ufyatuaji katika kikundi cha vijana.Kikundi hicho kimewezeshwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kupatiwa mashine 4 za kufyatulia matofali pamoja na sh. 500000 za mtaji.
Komredi Kinana akishiriki kufyatua matofali katika kikundi hicho cha vijana
Wananchi wakishangilia wakati wa mapokezi ya Komredi Kinana katika Kijiji cha Kiruo Vunjo Kusini kata ya Uchira.
Kikundi cha ngoma za asili kikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Komredi Kinana katika Kata ya Uchira, Jimbo la Vunjo.
Komredi Kinana akihutubia wananchi katika Kata ya Uchira, Vunjo.
Wajumbe wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya Jimbo la Vunjo, wakiwa katika mkutano na Komredi Kinana.
Wasanii wakitumbuiza wakati wa mkutano huo
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Mji wa Himo, Jimbo la Vunho, Moshi Vijijini.
Komredi Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Mji wa Himo, Jimbo la Vunjo,Moshi Vijijini. Jimbo hilo linaongozwa na Mbunge wa TLP, Augustino Mrema.
Baadhi ya waendesha bodaboda wakiwa katika mkutano huo
Kinana ambaye ameambatana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye, amewaasa wananchi kuacha kujiunga na vyama vya upinzani ambavyo havina uwezo wa kuwasaidia kutatua kero zao, bali wajiunge na CCM yenye uwezo wa kutatua kero zao kwani ndo chama kinachoongoza serikali. Pia Kinana ameseam kuwa Umoja wa Vyama hivyo wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) katika uchaguzi ujao utageuka kuwa UKIWA akidai CCM itashinda kwa Kishindo.
Komredi Kinana akisalimiana na Kamanda wa Vijana wa CCM Wilaya ya Moshi Vijijini alipowasili Kahe Magharibi kushiriki ufyatuaji katika kikundi cha vijana.Kikundi hicho kimewezeshwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kupatiwa mashine 4 za kufyatulia matofali pamoja na sh. 500000 za mtaji.
Komredi Kinana akishiriki kufyatua matofali katika kikundi hicho cha vijana
Wananchi wakishangilia wakati wa mapokezi ya Komredi Kinana katika Kijiji cha Kiruo Vunjo Kusini kata ya Uchira.
Kikundi cha ngoma za asili kikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Komredi Kinana katika Kata ya Uchira, Jimbo la Vunjo.
Komredi Kinana akihutubia wananchi katika Kata ya Uchira, Vunjo.
Wajumbe wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya Jimbo la Vunjo, wakiwa katika mkutano na Komredi Kinana.
Wasanii wakitumbuiza wakati wa mkutano huo
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Mji wa Himo, Jimbo la Vunho, Moshi Vijijini.
Komredi Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Mji wa Himo, Jimbo la Vunjo,Moshi Vijijini. Jimbo hilo linaongozwa na Mbunge wa TLP, Augustino Mrema.
Baadhi ya waendesha bodaboda wakiwa katika mkutano huo
Comments