MAJONZI MSIBANI NYUMBANI KWA KOMBA DAR

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akimfariji mke wa marehemu, Salome komba
....ni kilio na huzuni kubwa kwa Malkia wa Tarabu Khadija Kopa, ambaye alikuwa chini ya Komba katika kikundi cha taarabu cha TOT
Wabunge wa Chadema, Joseph Mbilinyi 'Sugu' (kushoto) na Godbless Lema (kulia) wakizungumza na Mhe. William Lukuvi msibani
Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar
...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu
...masikitiko na kilio kwa mjane wa marehemu, Bi. Salome Komba
Mtoto wa marehemu Kapteni John Komba (katikati) akitolewa ndani kutokana na matatizo aliyonayo ya moyo.
Ndugu wa marehemu Kapteni John Komba wakilia kwa uchungu.
Mke mdogo wa marehemu wa kwanza (kushoto) akilia kwa uchungu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU