MKUTANO WA PAMOJA WA VYAMA VINAVYOUNDA UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI UKAWA JIJINI WASHINGTON DC, MAREKANI


Viongozi wa Vyama vya CUF na CHADEMA wakiwa pamoja katika mkutano jijini Washington DC.
Mbunge wa Mji Mkongwe Zanzibar Mh Ismail Jussa akiwa katika mkutano wa Pamoja wa Vyama vinavyounda umoja wa Katiba UKAWA jijini Washington DC.
Viongozi wa CUF na CHADEMA DMV wakiwa na Mgeni rasmi Mh Ismail Jussa.
Kutoka Kushoto ni Mbunge wa Mji Mkongwe Zanzibar Mh Ismail Jussa, wa pili ni Mh Shamis ambaye ni Mwenyekiti wa CUF DMV, wa tatu ni Mwenyekiti wa CHADEMA DMV Kalley Pandukizi na wa nne ni Katibu wa Tawi la CHADEMA DMV Liberatus Mwang’ombe.
 
Katibu wa Tawi la CHADEMA DMV Liberatus Mwang’ombe akiongea katika Mkutano wa pamoja unaunganisha vyama vya CUF na CHADEMA.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA DMV Kalley Pandukizi akiongea kabla ya Kumpisha Mgeni Rasmi Mh Ismail Jussa.
 
Mh Jussa akiwa na Mwenyekiti wa Tawi la CHADEMA DMV Kalley Pandukizi.
Viongozi wa CHADEMA na CUF DMV wakiwa na Mh Jussa katika Picha ya Pamoja kuonyesha Mshikamano wa Vyama vyao.
Kutoka kushoto ni Katibu Mwenezi wa Tawi la CHADEMA DMV Ndugu Hussein Kauzela, katikati ni Mh Ismail Jussa na Kulia ni Katibu wa CHADEMA DMV katika picha ya pamoja kuonyesha mshikamano.
Mwenyekiti wa CUF DMV Ndugu Shamis akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la wanawake Ndugu Baybe Mgaza.
Katibu Mwenezi wa CHADEMA DMV Ndugu Hussein Kauzela akiwa na Mweka Hazina wa Tawi la CHADEMA DMV Ndugu Ludigo Mhagama.
Mh Ismail Jussa akiwa na Kada wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Salma Moshi.
Kwa Picha zaidi Bonyeza Read More

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*