Rais Robert Mugabe (katikati) wa Zimbabwe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, akishuka kwa uangalifu kwenye ngazi huku akiwa amezingirwa na walinzi wake alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kufungua Kongamano la Viongozi wa Vijana wa Afrika na China lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UV/CCM) jijini Arusha. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Rais Robert Mugabe (katikati) wa Zimbabwe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akipewa zawadi ya shada la maua na mtoto Khairat Said, alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kufungua Kongamano la Viongozi wa Vijana wa Afrika na China lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UV/CCM) jijini Arusha. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Komredi Mugabe ameisifu Tanzania na Baba wa Taifa hayati Julius Nyerere kwa kazi kubwa aliyofanya kwa kuhakikisha nchi nyingi za Afrika na hasa kusini mwa Afrika zina pata uhuru.
Komredi Mugabe akipita katika ya gwaride ililoandaliwa wakati wa mapokezi kwenye Uwanja wa KIA
Komredi Mugabe (kulia) akiambiwa jambo na Komredi Kinana alipokuwa akiangalia ngoma ya utamaduni
Ngoma ya utamaduni ya jamii ya kimasai ikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Komredi Mugabe wa Zimbabwe.
Komredi Robert Mugabe akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto). Kulia ni Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Rais Robert Mugabe (katikati) wa Zimbabwe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, akiteta jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokuwa akiangalia ngoma za utamaduni alipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kufungua Kongamano la Viongozi wa Vijana wa Afrika na China lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UV/CCM) jijini Arusha. 9PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Steven Masele akizungumza na wanahabari baada ya kumlaki Rais wa Zimbabwe, Komredi Mugabe kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro leo. Mugabe alikuwa mgeni rasmi katika Kongamano la tatu la Viongozi Vijana wa Afrika na China lililofanyika jijini Arusha .
Rais Jakaya Kikwete akipatiwa tuzo ya juu ya heshima ya kutambua mchango wake katika kuhamasisha amani na utulivu Afrrika. Tuzo hiyo anakabidhiwa na Rais wa Umoja wa Vijana Afrika, Francine Furaha Muyumba katika kongamano hilo lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM.
Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika Kongamano hilo kwenye Hoteli ya Ngurdoto, jijini Arusha.
Baadhi ya vijana wakipiga picha za kumbukumbu wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika kongamano hilo.
Rais Jakaya Kikwete akiondoka huku akisindikizwa na Komredi Kinana baada ya kuhutubia mkutano huo.
Kinana akizungumza jambo na Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akimsindikiza baada ya kuhutubia mkutano. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.
Bendera za nchi mbalimbali ambazo wajumbe wake wanashiriki katika kongamano hilo zikipepea nje ya ukumbi klwa mkutano katika Hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha
Komredi Kinana akizungumza na mmoja wa wajumbe wa kongamano hilo
Walinzi wa Rais Mugsbe wa Zimbabwe wakiimarisha ulinzi wakati kiongozi huo akiremka kutoka kwenye gari
Komredi Mugabe (katikati) akipanda ngazi kwa uangalifu kuingia kwenye ukumbi wa mkutano
Komredi Mugabe akiingia ukumbini huku akisindikizwa na Komredi Kinana
Komredi Mugabe akionesha ushupavu alipokuwa jukwaa kuu tayari kufungua kongamano hilo
Komredi Mugabe akiwa na Komredi Kinana pamoja na Wasira meza kuu kabla kufungua kongamano hilo
Komredi Kinana akihutubia katika Kongamano hilo kwenye Hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha
Katibu Umoja wa Vijana wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Zhou Chang Kui akizungumza katika kongamano hilo
Mwenyekiti wa AU, Robert Mugabe akihutubia katika Kongamano hilo la Vijana Afrika
Sehemu ya wajumbe wa kongamano hilo
Rais Robert Mugabe (katikati) wa Zimbabwe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akipewa zawadi ya shada la maua na mtoto Khairat Said, alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kufungua Kongamano la Viongozi wa Vijana wa Afrika na China lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UV/CCM) jijini Arusha. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Komredi Mugabe ameisifu Tanzania na Baba wa Taifa hayati Julius Nyerere kwa kazi kubwa aliyofanya kwa kuhakikisha nchi nyingi za Afrika na hasa kusini mwa Afrika zina pata uhuru.
Komredi Mugabe akipita katika ya gwaride ililoandaliwa wakati wa mapokezi kwenye Uwanja wa KIA
Komredi Mugabe (kulia) akiambiwa jambo na Komredi Kinana alipokuwa akiangalia ngoma ya utamaduni
Ngoma ya utamaduni ya jamii ya kimasai ikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Komredi Mugabe wa Zimbabwe.
Komredi Robert Mugabe akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto). Kulia ni Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Rais Robert Mugabe (katikati) wa Zimbabwe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, akiteta jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokuwa akiangalia ngoma za utamaduni alipowasili jana kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro, tayari kufungua Kongamano la Viongozi wa Vijana wa Afrika na China lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM (UV/CCM) jijini Arusha. 9PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Steven Masele akizungumza na wanahabari baada ya kumlaki Rais wa Zimbabwe, Komredi Mugabe kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro leo. Mugabe alikuwa mgeni rasmi katika Kongamano la tatu la Viongozi Vijana wa Afrika na China lililofanyika jijini Arusha .
Rais Jakaya Kikwete akipatiwa tuzo ya juu ya heshima ya kutambua mchango wake katika kuhamasisha amani na utulivu Afrrika. Tuzo hiyo anakabidhiwa na Rais wa Umoja wa Vijana Afrika, Francine Furaha Muyumba katika kongamano hilo lililoandaliwa na Umoja wa Vijana wa CCM.
Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika Kongamano hilo kwenye Hoteli ya Ngurdoto, jijini Arusha.
Baadhi ya vijana wakipiga picha za kumbukumbu wakati Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika kongamano hilo.
Rais Jakaya Kikwete akiondoka huku akisindikizwa na Komredi Kinana baada ya kuhutubia mkutano huo.
Kinana akizungumza jambo na Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akimsindikiza baada ya kuhutubia mkutano. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu.
Bendera za nchi mbalimbali ambazo wajumbe wake wanashiriki katika kongamano hilo zikipepea nje ya ukumbi klwa mkutano katika Hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha
Komredi Kinana akizungumza na mmoja wa wajumbe wa kongamano hilo
Walinzi wa Rais Mugsbe wa Zimbabwe wakiimarisha ulinzi wakati kiongozi huo akiremka kutoka kwenye gari
Komredi Mugabe (katikati) akipanda ngazi kwa uangalifu kuingia kwenye ukumbi wa mkutano
Komredi Mugabe akiingia ukumbini huku akisindikizwa na Komredi Kinana
Komredi Mugabe akionesha ushupavu alipokuwa jukwaa kuu tayari kufungua kongamano hilo
Komredi Mugabe akiwa na Komredi Kinana pamoja na Wasira meza kuu kabla kufungua kongamano hilo
Komredi Kinana akihutubia katika Kongamano hilo kwenye Hoteli ya Ngurdoto jijini Arusha
Katibu Umoja wa Vijana wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Zhou Chang Kui akizungumza katika kongamano hilo
Mwenyekiti wa AU, Robert Mugabe akihutubia katika Kongamano hilo la Vijana Afrika
Sehemu ya wajumbe wa kongamano hilo
Comments