Mabao ya Simba sc yaliingizwa kimiani na mchezaji Ibrahim Ajibu aliyefunga bao tatu pekee yake huku Emmanuel Okwi na Ramadhan Singano wakifunga bao moja moja na kuifanya mchezo huo kumalizika kwa ushindi wa bao 5-0 dhidi ya Prison katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam katika ligi kuu Tanzania bara.
Mabao ya Simba sc yaliingizwa kimiani na mchezaji Ibrahim Ajibu aliyefunga bao tatu pekee yake huku Emmanuel Okwi na Ramadhan Singano wakifunga bao moja moja na kuifanya mchezo huo kumalizika kwa ushindi wa bao 5-0 dhidi ya Prison katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam katika ligi kuu Tanzania bara.
Comments