Mjumbe wa Kamati ya Uratibu wa Tamasha la Pasaka, Khamis Pembe akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya Tamasha hilo litakalofanyika Aprili 5, mwaka huu jijini Dar es Salaam, ambapo alisema kuwa pamoja na mambo mengine ulinzi utaimarishwa kwa kiasi kikubwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi.. Kushotoni Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Alex Msama.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Alex Msama (kushoto) anasema kuwa katika tamasha hilo, litaongozwa na msanii wa Tanzania, Upendo Nkone, ambapo Bonny Mwaitege atazindua albamu yake mpya. Alisema wasanii wengine lukuki wa ndani na nje ya nchi watashiriki tamasha hilo ambalo pial itakuwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 15 tangu lianzishwe mwaka 2000.
Mjumbe wa kamati hiyo, akiwahakikishia watanzatania watakaokwenda kwenye tamasha hilo watafaidi uhondo tofauti na matamasha yaliyopita kwani wamejipanga vya kutosha.
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Alex Msama (kushoto) anasema kuwa katika tamasha hilo, litaongozwa na msanii wa Tanzania, Upendo Nkone, ambapo Bonny Mwaitege atazindua albamu yake mpya. Alisema wasanii wengine lukuki wa ndani na nje ya nchi watashiriki tamasha hilo ambalo pial itakuwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 15 tangu lianzishwe mwaka 2000.
Pia alielezea jinsi
tamasha hilo lilivyosaidia kusomesha watoto yatima 350 na kutoa misaada
mbalimbali ya vyakula na vifaa kwa vituo vya kulelea wanaoishi kwenye
mazingira magumu ambapo wajane wamepatiwa mitaji yenye yenye thamani ya
sh. mil. 79.
Amesema kuwa kuwa kwa vile Tamasha la Pasaka lipo kwa watu
wasiojiweza, kamati imeamua kujenga Kituo Kikubwa nchini cha kutolea
misaada mbalimbali kwa ajili ya watu hao
Pia alikemea mauaji ya Albino yanayoendelea nchini, ambapo ameishauri
serikali kkuwakusanya watoto alibino na kuwaweka sehemu moja ambayo
watapata huduma ya ulinzi na malazi hadi watakapokuwa ndipo waruhusiwe
kutoka katika kambi hiyo.
Pia aliwaasa viongozi wa siasa kuacha tabia za kishirikina ya
kushawishika kutumia vioungo vya albino kwa lengo la kupata vyeo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Mwenyekiti wa Kamati ya
Kuratibu maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama (kulia)
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana,
ambapo alielezea ujio wa wasanii wa muziki wa injili kutoka nchi za
Afrika Kusini, Zambia,Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi.
Pia alielezea jinsi tamasha hilo lilivyosaidia kusomesha watoto yatima
350 na kutoa misaada mbalimbali ya vyakula na vifaa kwa vituo vya
kulelea wanaoishi kwenye mazingira magumu ambapo wajane wamepatiwa
mitaji yenye yenye thamani ya sh. mil. 79.
Amesema kuwa kuwa kwa vile Tamasha la Pasaka lipo kwa watu
wasiojiweza, kamati imeamua kujenga Kituo Kikubwa nchini cha kutolea
misaada mbalimbali kwa ajili ya watu hao
Pia alikemea mauaji ya Albino yanayoendelea nchini, ambapo ameishauri
serikali kkuwakusanya watoto alibino na kuwaweka sehemu moja ambayo
watapata huduma ya ulinzi na malazi hadi watakapokuwa ndipo waruhusiwe
kutoka katika kambi hiyo.
Pia aliwaasa viongozi wa siasa kuacha tabia za kishirikina ya
kushawishika kutumia vioungo vya albino kwa lengo la kupata vyeo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Pia alielezea jinsi
tamasha hilo lilivyosaidia kusomesha watoto yatima 350 na kutoa misaada
mbalimbali ya vyakula na vifaa kwa vituo vya kulelea wanaoishi kwenye
mazingira magumu ambapo wajane wamepatiwa mitaji yenye yenye thamani ya
sh. mil. 79.
Amesema kuwa kuwa kwa vile Tamasha la Pasaka lipo kwa watu
wasiojiweza, kamati imeamua kujenga Kituo Kikubwa nchini cha kutolea
misaada mbalimbali kwa ajili ya watu hao
Pia alikemea mauaji ya Albino yanayoendelea nchini, ambapo ameishauri
serikali kkuwakusanya watoto alibino na kuwaweka sehemu moja ambayo
watapata huduma ya ulinzi na malazi hadi watakapokuwa ndipo waruhusiwe
kutoka katika kambi hiyo.
Pia aliwaasa viongozi wa siasa kuacha tabia za kishirikina ya
kushawishika kutumia vioungo vya albino kwa lengo la kupata vyeo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Msama akisisitiza mbele ya wanahabari kuwaomba wananchi kwenda kwa wingi kwenye tamasha hilo litakalofanyika Uwanja wa Taifa, ambalo pamoja na kutoa burudani ya muziki wa njili, pia litakuwa ni sehemu ya kuhubiri kudumisha amani,na upendo miongoni mwa watanzania na nchi jirani.Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Mjumbe wa kamati hiyo, akiwahakikishia watanzatania watakaokwenda kwenye tamasha hilo watafaidi uhondo tofauti na matamasha yaliyopita kwani wamejipanga vya kutosha.
Mwenyekiti wa Kamati ya
Kuratibu maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama (kulia)
akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana,
ambapo alielezea ujio wa wasanii wa muziki wa injili kutoka nchi za
Afrika Kusini, Zambia,Malawi, Rwanda, Kenya na Burundi.
Pia alielezea jinsi tamasha hilo lilivyosaidia kusomesha watoto yatima
350 na kutoa misaada mbalimbali ya vyakula na vifaa kwa vituo vya
kulelea wanaoishi kwenye mazingira magumu ambapo wajane wamepatiwa
mitaji yenye yenye thamani ya sh. mil. 79.
Amesema kuwa kuwa kwa vile Tamasha la Pasaka lipo kwa watu
wasiojiweza, kamati imeamua kujenga Kituo Kikubwa nchini cha kutolea
misaada mbalimbali kwa ajili ya watu hao
Pia alikemea mauaji ya Albino yanayoendelea nchini, ambapo ameishauri
serikali kkuwakusanya watoto alibino na kuwaweka sehemu moja ambayo
watapata huduma ya ulinzi na malazi hadi watakapokuwa ndipo waruhusiwe
kutoka katika kambi hiyo.
Pia aliwaasa viongozi wa siasa kuacha tabia za kishirikina ya
kushawishika kutumia vioungo vya albino kwa lengo la kupata vyeo.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Comments