WAWILI WAPOTEZA MAISHA KATIKA BASI LA MORNING STAR LILILOPATA AJALI JANA LIKITOKEA ITAMBOLEO KUELEKEA MBEYA


 Basi hilo baada ya kupata ajali
 Baadhi ya watu wakiwa wamefika kushuhudia ajali hiyo
Basi la morning star linalotka ubaruku-mbeya likiwa limetumbukia katika mfereji baada ya kuacha njia kwa kile kilichoelezwa ni kusapuka tairi la mbele na kupoteza mwelekeo. Jana asubuhi. Watu wawili walifariki dunia akiwamo mtoto wa miezo 9 na mtu mzima mmoja na abiria wengine 23 walijerhiwa vibaya ambapo walipelekwa hospitali ya misheni ya chimala. Wengi wao walivunjika miguu,mikono na kujerhiwa vichwani.

Ajali hiyo ilitokea eneo la itamboleo nje kidogo na mji wa igurusi wakati likielekea Mbeya.

Picha na Mbeya yetu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU