BIN SLUM AREJEA COASTAL UNION NA USHINDI WA BAO 2-0 DHIDI YA JKT

BIN SLUM (WA PILI KUSHOTO) NA WADAU WENGINE WA COASTAL UNION WAKISHEREKEA USHINDI WA COASTAL UNION, LEO. 
Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam ni faraja kubwa kwa Coastal Union.
KWani pamoja na kupoza machungu ya kufungwa mabao 8-0 dhidi ya Yanga, inasherekea kurejea kwa aliyekuwa mdhamini wake nassor Bin Slum ambaye ameongoza jahazi.
Bin Slum amesema kweli amerejea Coastal Union na kuzika tofauti zilizojitokeza.
“Pamoja na migogoro yote iliyopita, nimekuwa nikisisitiza mimi ni Coastal Union na siwezi kubadilika.
“Nina faraja pia, nimerudi na ushindi wa mabao hayo mawili na sasa ni kujitahidi kwa kushirikiana na wenzangu ili Coastal Union isiteremke daraja,” alisema akionekana ni mwenye furaha.
Mabao ya Coastal Union katika mechi hiyo yalifungwa na Mkenya Rama Salim na Mnigeria, Bright Obinna.
Ushindi huo unaifanya Coastal kufikisha ponti 27 na kuondoka kwenye timu 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.