Brendan Rodgers amwambia Raheem Sterling ajiheshimu


3925__3087__sterling1000_5462167a26ad3976412159_970X582

Sterling pichani
Raheem Sterling ameambiwa ajiheshimu kwenye mazungumzo yake na Brendan Rodgers jana siku ya Alhamisi.
Rodgers amemkumbusha Sterling wajibu wake baada ya kupigwa picha akiwa anavuta gesi ya kusisimua kucheka na akiwa pembeni na kipipa cha gesi hiyo (shisha).Rodgers anaelewa presha alionao nayo mshambuliaji huyo wa Liverpool na Uingereza na amemwambia kuwa makini.

Bosi huyo wa Liverpool pia alizungumza na kinda mwingine Jordon Ibe baada ya kinda huyo kupigwa picha akiwa na Sterling wakivuta gesi hiyo.
Ibe ndio kwanza AMERUDI kwa mara ya kwanza tokea alipumia mwezi Februari mwishoni na juzi alicheza dhidi ya Newcastle.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.