HALI YAZIDI KUWA MBAYA AFRIKA KUSINI,WAGENI NAO WASHIKA PANGA!!


Mama raia wa kigeni alirushiwa mawe na wenyezi wa Afrika Kusini katika ghasia za kupinga wahamiaji zinazoendelea nchini humo
Polisi wakifanya doria kudhibiti fujo za kupiga wahamiaji
Wapinga wahamiaji hayo wakikimbia baada ya kurushiwa mabomu ya machozi
Raia wa kigeni wakiamua kujihami kwa kuchukua silaha kupambana na wenyeji
Wenyeji wa Afrika Kusini wakiimba huku wakiwa na silaha za jadi kuwataka wageni waondoke nchini humo
Polisi wakizidi kupambana na wenyeji hao
Mwendo wa doria na kupambana na ghasia hizo
Wenyeji wakiwa wamewekwa chini ya ulinzi mjini Johannesburg
Afrika Kusini inaonekana kuchafuka
Raia wa kigeni wakitoa bidhaa katika maduka yao kufuatia kushambuliwa na wenyeji
Maandamano ya kupinga ghasia dhidi ya wageni yalifanyika mjini Durban
Maandamano ya kupinga kushambulia wahamiaji yakiendelea nchini Afrika Kusini
Raia wa kigeni akiwa ameshika silaha tayari kupambana na wenyeji wasiowataka nchini humo
Wenyeji wakizuiwa na askari wasifanye fujo hizo
Wageni wakizidi kuhamisha mali zao kufuatia ghasia hizo zilizoibuka wiki iliyopita
Baaadhi ya raia ya kigeni wakiwa wamehifadhiwa katika kambi baada ya kukimbia fujo na kuepusha maisha yao
Hivi Afrika Kusini imesahau mchango na jitihada za Waafrika wenzao katika mapambano ya kudai uhuru wa taifa hilo?
Ama kweli shukrani ya punda mateke…
 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI