HATIMAYE MAMA CLINTON KUGOMBEA TENA URAIS 2016


Bibi Hillary Clinton Mke wa Rais wa Marekani wa zamani na Waziri wa nje wa Marekani alimaliza mda wake.
Ametangaza Rasmi anagombea #2016... na amezindua Kampeni yake Jana kupitia chama cha Democratic...Rais wa Marekani Barack Obama alipulizwa jana huko Panama...Anamzungumzaje Bi Hillary Clinton....? Anajibu...... "Namfahamu Kama Mwana mama mshindani wangu 2008...
Namjua Kama Msaidizi Wangu akiwa Secretary of state (Waziri wa mashauri ya Ligeti) Na bado ni Rafiki yangu sana kisha akasema ni mwanamama amayeweza kuiendeleza Amerika...

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA