IAAF:Marekani kuandaa riadha mwaka 2021

Rais wa shirikisho la riadha duniani IAAF Lamin Diack
Marekani itaanda mashindano ya riadha duniani kwa mara ya kwanza mwaka 2021.
Mji wa Eugene katika jimbo la Oregon ulichaguliwa na shirikisho la riadha duniani IAAF.
Shirikisho hilo lilikiuka sheria za utoaji zabuni.
IAAF limesema kuwa uamuzi huo ni mpango uliofanywa baada ya Gavana wa jimbo la Oregon pamoja na kamati ya Olimpiki ya Marekani kutoa usaidizi wa kifedha.
Mji wa Eugene ulishindwa katika harakati zake zaa kuandaa mashindano hayo mwaka 2019 baada ya mashindano hayo kukabidhiwa mji wa Doha nchini Qatar.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI