Kombe la FA:Arsenal kuchuana na Reading

Mechi ya semi fainali ya FA kati ya Reading na Arsenal
Pavel Pogrebnyak atashiriki katika mechi ya semi fainali ya kombe la FA kati ya Reading na Arsenal baada ya kupona jeraha la mguu.
Naye Nathan Ake na Kwesi Appiah hawatashiriki lakini Nathaniel Chalobah na Jamie Mackie wanaweza kucheza.
Kiungo wa kati wa Arsenal Jack Wilshere huenda akaanzishwa kwa mara ya kwanza baada ya kupona jeraha la kifundo cha mguu.
Hatahivyo Mike Arteta na Alex Oxlaide Chamberlain bado wanauguza majeraha.
Woljciech Szczesny ataanzishwa katika goli la Arsenal.
Mlinzi wa Ufaransa Mathiew Debuchy pia huenda akaorodheshwa katika kikosi hicho,baada ya kuwa nje tangu mwezi Januari ambapo alifanyiwa upasuaji wa bega lake.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI