Ligi ya England timu 20 kushuka dimbani


Timu ya Chelsea
Jumla ya timu 20 zinazoshiriki ligi ya England zinatarajiwa kushuka dimbani mwishoni mwa wiki.
Hata hivyo mechi ya Chelsea na Arsenal ,inaoonekana kuwa na mvuto zaidi kwa wengi, kufuatia matokeo ya mechi hiyo kutoa picha mbili tofauti, moja kuihakikishia Chealse ubingwa iwapo itashinda mechi hiyo,na pia Arsenal ikishinda italeta mazingira ya wazi kwa timu yoyote kati ya timu hizo mbili kutwaa ubingwa.
Kocha wa Liverpool,Brendan Rodgers
Naye kocha Liverpool Brendan Rodgers ameibuka na kutamba kuwa yeye ni kocha bora na hakuna kama yeye, huku akisema anamatumaini ya kuendelea kukinoa kikosi.
Pamoja na majigambo hayo Rodgers ameweka rekodi mpya ndani ya klabu hiyo kwa kuongoza misimu mitatu bila kuchukua taji lolote, tofauti na watangulizi wake tangu mwaka 1950.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA