MBIO ZA KIMATAIFA ZA NGORONGORO MARATHONI SASA KUFANYIKA APRILI 18 MWAKA HUU.


Waandaaji wa mbio za kimataifa za Ngorongoro Maratahoni katika mkutano na wanahabari kuzungumzia maandalizi ya mwisho ya mbio hizo zinazotarajia kufanyika Aprili 18 mwaka huu ,Karatu mkoani Arusha.
Mkurugenzi wa Zara Tanzania Adventure na Zara Charity,Zainab Ansel akizungumza na wanahabari kuhusu maandalizi ya mbio hizo ambazo zinadhaminiwa na Shirika lisilo la kiserikali la Zara Charity .
Mratibu wa Mbio za Kilimanjaro Marathoni Meta Peter akizungumzuia wanariadha wa Tanzania ambao wanartarajia kushiriki Mbio hizo huku akisema mbio za mwaka huu zitashirikisha wanariadha walioshiriki mbio za dunia za Nyika mwaka huu watakao toana jasho na wakimbiaji kutoka nchini Kenya,Uganda na Malawi.
Muongozaji wa Mbio hizo kutoka kampuni ya Zara Tour ,Frances Kilawe akizungumza historia ya Mbio hizo.
Mwakilishi wa shirika lisilo la kiserikali la Zara Charity Datus Mmary akizungumzia lengo la mbo hizo ambao awali ilikuwa ni kuchangia katika kutokomeza Marelia na mbio za mwaka huu zitakuwa ni kwa ajili ya kuchangia elimu hasa kwa watoto wa jamii ya wafugaji.
Mwakilishi wa kampuni ya Bonite Bottlers ,Leonard Makule akizungumzia juu ya udhamini wa kampuni hiyo katika mbio za kimataifa za Ngorongoro Marathoni 2015.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*