PATRICK VIERA KUMRITHI PELLEGRINI?

Patrick Viera
Meneja wa timu ya vijana ya Manchester City Mfaransa Patrick Viera huenda akachukua mikoba ya Manuel Pellegrini kama atatimuliwa mwishoni mwa msimu.
Viera anapigiwa upatu na wachezji wengi kuwa kocha wa kikosi hicho baada ya kufanya vizuri akiwa na kikosi cha vijana cha klabu hiyo.
Mchezaji huyu aliyemalizika soka lake akiwa na kikosi hicho amekua na mafanikio tangu alipoanza kukiongoza kikosi cha vijana cha timu hiyo,.
Hali hii imekuja baada ya mwenendo wa sasa wa kikosi cha Man city kilichopo chini ya mkufunzi Manuel Pellegrini kutokua mzuri licha ya kutumia pesa nyingi kusajili wachezaji.
Pia Manchester City imekuwa ikimuwania Kocha wa Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU