RAIS WA EVERTON AFARIKI DUNIA

Rais wa heshima wa klabu ya Everton Sir Philip Carter amefariki akiwa na miaka 87.
Taarifa iliyotolewa na klabu ya Everton imethibitisha kifo hicho na Kueleza Carter alifariki akiwa nyumbani kwake Alhamisi asubuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Carter, alikua mshabiki wa timu hii tangu utotoni ambapo mwaka 1973 alijiunga na timu kama mkurugenzi na mwaka 1978 akawa mwenyekiti wa timu.
utoto Everton shabiki, alijiunga na klabu kama mkurugenzi mwaka 1973. Yeye alipata nafasi ya mwenyekiti mwaka 1978 na aliendelea ataongoza kipindi cha mafanikio ndani na Ulaya
Wakati wa uongozi wake kama mwenyekiti akiwa na meneja Howard Kendall ,Carter , alishinda mataji mwaka ya FA cup 1985 na 1987, 1984 na Kombe la Ulaya 1985.
Alichaguliwa kuwa Raisi wa heshima wa maishan wa timu ya Everton mwaka 200

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.