SHUHUDIA MAISHA YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA,CHRISTIAN RONALDO!!,NA BAADHI YA MALI ZAKE



Cristiano Ronaldo akiwa Dubai Cristiano Ronaldo baada ya kazi yake ya uwanjani na kazi nyingine, huwa anapenda sana kujiachia na mwanae au na familia kwa ujumla. Picha nyingi anaonekana yupo na mwanae au yupo na mpenzi wake (wa zamani). Kama mastaa wengine ambao hupenda kuweka
uhusiano na mastaa wenzao, Cristiano ana urafiki na Floyd Mayweather na pia huwa ana hudhuria matamasha ya muziki ya wasanii wakubwa kama Rihanna.
Enjoy kuangalia picha za maisha ya CR7 kwa upande mwingine zaidi ya uwanjani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA