BILL CLINTON ATEMBELEA MIRADI INAYOFADHILIWA NA WAKFU WAKE HAPA TANZANIA


Clinton alipotembelea kikundi cha Sola Sister wilayani Karatu mkoa wa Arusha

Clinton akisalimiana na matatibu katika zahanati ya Nainokanoka iliyoko wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. Zahanati hiyo inafadhiliwa chini ya mpango wa rais huyo wa (Clinton Health Access Initiative-CHAI)

Clinton akitembelea shamba la mfano la Ngongwa mkoani Iringa

Clinton akisalimiana na wanachama wa shamba la mfano Ngongwa lililoko kijiji cha Lugalo mkoani Iringa. Shamba hilo linaendeshwa chini ya ufadhili wa mpango wa maendeleo wa rais huyo wa (Clinton Development Initiative-CDI)

Clinton, akisalimiana na familia ya Wazia Chawala huko kijiji cha Lugalo mloani Iringa wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi inayofadhiliwa na wakfu wake wa CDI). Chawala anawafunza wenzake juu ya ukulima bora unavyochangia kuinua kipato chake nahivyo kuyafanya maisha yake kuwa bora zaidi

Meneja wa operesheni kwenye shamba la mfano Ngongwa linalopokea ufadhili kutoka wakfu wa Clinton Foundation (CDI), Otto Ulyate, akimuelezea rais mstaafu Clinton namna bora ya kuvuna maji na kuzuia maji kutawanyika ovyo na kusababisha mmomonyoko wa udongo na kuharibu mazao

Clinton katika mradi wa Ngongwa 
Watoto wakisubiri huduma ya afya kwenye zahanati ya Nainokanoka iliyoko wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha

Clinton akifurahia jambo na akina mama wa kikundi cha solar sister cha wilayani Karatu mkoa wa Arusha. (Picha na Clinton Foundation)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.