KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU DODOMA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Ukumbi wa NEC, kuendesha Kikao cha Kamati Kuu ya CCM mjini Dodoma leo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
 Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM. Stephen Wassira (kulia) na Adam Kimbisa wakijadiliana jambo wakati wa kikao hicho
 Jesniter Mhagama akijadiliana jambo na mjumbe mwenzie Dk.Emmanuel Nchimbi wakati wa kikao hicho.(PICHA NA FREDDY MARO)
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma
 Baadhi ya wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, wakipitia ajenda za kikao hicho katika Ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Pindi Chana na Abdallah Bulembo (aliyekaa) wakisalimiana muda mfupi kabla ya kuanza kikao hicho. (PICHA NA JOHN BANDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*