KISA MAYWEATHER VS PACQUIAO, ANGALIA NDEGE ZA MABILIONEA ZILIVYOJAZANA UWANJANI

Unaweza kusema ni jeuri ya fedha, mastaa mbalimbali mamilionea na mabilionea wamejitokeza kwenye pambano la ngumi kati ya Floyd Mayweather dhidi ya Manny Pacquiao.
Burudani ni kwamba kwenye Uwanja wa Ndege wa Las Vegas linapopigwa pambano hilo, zimejazana ndege ile mbaya.Ndege za matajiri hao, hadi imelazimika ziegeshwe kwa utaratibu usio sahihi kwa kuwa ziko nyingi ile mbaya.Ila imeelezwa wengi wao wanaondoka baada ya mechi hiyo asubuhi ya kurejea sehemu mbalimbali duniani.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI