Lori lililokuwa limebeba kokoto likiwa limezama kwenye Mto Msimbazi, karibu na daraja la Kinyerezi baada ya kutokea mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha jijini Dar es Salaam.Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki ni kwamba watu wanane wamekufa kutokana na adha ya mafuriko hayo.
Kijana ambaye jina lake halikupatikana mara moja akimbeba msichana kumvusha kwenye mafuriko kwa malipo ya Sh. 2,000 eneo la Jangwani Dar es Salaam
Foleni ya magari Bonde la Mkwajuni, Kinondoni
Mafuriko Bonde l;a Mkwajuni, Kinondoni
Wananchi wa Bonde la Mkwajuni Barabara ya Kawawa wakiwa wamehifadhiwa jirani na nyumba ya Mjumbe Sofia Philipo baada ya nyumba zao kujaa maji jana kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam
Bonde la Mkwajuni
Waathirika wa mafuriko wakipatiwa msaada wa vyakula
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wakivushwa kwenye mafuriko kwa kila mmoja Sh. 2,000 maeneo ya Jangwani Dar es Salaam. Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani ilifungwa kwa muda baada ya mafuriko hayo kufunika daraja.
Mambo ya Jangwani hayo
Kijana ambaye jina lake halikupatikana mara moja akimbeba msichana kumvusha kwenye mafuriko kwa malipo ya Sh. 2,000 eneo la Jangwani Dar es Salaam
Foleni ya magari Bonde la Mkwajuni, Kinondoni
Mafuriko Bonde l;a Mkwajuni, Kinondoni
Wananchi wa Bonde la Mkwajuni Barabara ya Kawawa wakiwa wamehifadhiwa jirani na nyumba ya Mjumbe Sofia Philipo baada ya nyumba zao kujaa maji jana kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam
Bonde la Mkwajuni
Waathirika wa mafuriko wakipatiwa msaada wa vyakula
Baadhi ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, wakivushwa kwenye mafuriko kwa kila mmoja Sh. 2,000 maeneo ya Jangwani Dar es Salaam. Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani ilifungwa kwa muda baada ya mafuriko hayo kufunika daraja.
Mambo ya Jangwani hayo
Comments