MANCHESTER CITY YAICHAPA QPR BAO 6 NA KUITEREMSHA DARAJA

Man City imeitwanga QPR kwa mabao 6-0 na kuiteremsha daraja rasmi.
QPR ina pointi 27, imebakiza mechi mbili, iwapo itashinda zote itafikisha pointi 33.
Maana yake itakuwa imeshindwa kujiondoa katika nafasi mbili za kuteremka daraja kwa kuwa Hull City ina pointi 34 na iko katika nafasi ya 18 ambayo pia ni ‘denja’.
Man City XI: Hart 6, Zabaleta 6.5, Demichelis 6, Mangala 7, Kolarov 7, Fernando 6.5, Milner 7 (Navas), Fernandinho 6.5 (Toure 6), Lampard 6.5 (Bony 6.5), Silva 7.5, Aguero 8
Subs not used: Caballero, Sagna, Kompany, Dzeko
Manager: Manuel Pellegrini 7 
QPR XI: Green 5.5, Caulker 4.5, Dunne 5, Hill, Phillips 5, Barton 5, Henry 5.5, Suk-Young 4.5 (Wright-Phillips), Fer 5 (Kranjcar 6), Zamora 4 (Hoilett 6), Austin 6
Subs: McCarthy, Furlong, Grego-Cox, Comley
Manager: Chris Ramsey 4
Referee: Mike Dean - 6
10May2015

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.