MAYWEATHER, PACQUIAO WAPIMA UZITO, SASA KILICHOBAKI NI NDONGA TU

Mabondia Floyd Mayweather na Manny Pacquiao wamepima uzito ikiwa ni hatua muhimu ya kuthibitisha pambano la kesho.Kukutana kwao na kupima uzito, maana yake kila kitu kimekamilika na kinachosubiriwa ni ndonga tu kesho.Ndiyo pambano ghali zaidi katika historia ya ngumi duniani na linasubiriwa kwa hamu duniani kote wakati wawili hao wakipambana jijini Las Vegas, Marekani.










Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.