MIILI YA WANAJESHI WALIOFARIKI CONGO IMEAGWA RASMI CONGO TAYARI KURUDISHWA NYUMBANI KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MAZISHI

Askari wa Jeshi la Tanzania wakiaga miili ya askari waliofariki huko DRC.
Jeshi la umoja wa mataifa linalolianda amani kaskazini mashariki mwa nchi ya kongo DRC wameanza harakati za kusafirisha miili ya askari wawili wa kitanzania kuja kuzikwa nyumbani baada ya kuuwawa katika shambulio la kigaidi huko beni.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*