Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano mkuu wa Chama Cha
Waalimu TANZANIA( CWT) uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto nje kidogo
ya mji wa Arusha jana.Wakati wa mkutano huo wanachama wa CWT ulitarajia
kuwachagua viongozi wapya wa chama Hicho.Akizungumza katika mkutano huo
Rais Kikwete ameahidi kutatua changamoto moto mbalimbali zinazowakabili
waalimu nchini(picha na Freddy Maro)
Rais Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Jakaya Mrisho kikwete akisalimiana na walimu waliofika katika
mkutano mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) unaoendelea jijini
Arusha .Jumla ya walimu 1000 wanahudhuria mkutano huo kutoka sehemu
mbalimbali nchini.Picha na Mahmoud Ahmad
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Jakaya Mrisho kikwete akiteta jambo na mmoja kati ya Waasisi wa
Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Thom Abieko jana wakati alipofungua
mkutano mkuu wa chama hicho jijini Arusha.Jumla ya walimu 1000
walihudhuria mkutano huo kutoka sehemu mbalimbali nchini.Picha na
Mahmoud ahmad
Rais Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Jakaya Mrisho kikwete akiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu
wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) unaoendelea jijini Arusha .Jumla ya
walimu 1000 walihudhuria mkutano huo kutoka sehemu mbalimbali nchini
ambapo Raisi Kikwete alihutubia.Picha na Mahmoud Ahmad
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Jakaya Mrisho kikwete akizungumza jambo na mmoja kati ya
Waasisi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Thom Abieko jana wakati
alipofungua mkutano mkuu wa chama hicho
Comments