TASWIRA ZA WASHINDI TUZO ZA WATU 2015

IMG_0917Millard Ayo na Salim Kikeke
Tuzo za watu 2015 zimetolewa Ijumaa hii kwenye hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa ‘surprises’ za kutosha. Mshindi mkubwa kwenye usiku huo na ambaye amekuwa surprise kwa wengi ni mtangazaji wa TBC FM, D’jaro Arungu aliyeibuka na tuzo mbili.D’Jaro alikuwa akishindana na Millard Ayo kwenye vipengele hivyo viwili ambaye hata hivyo alishinda pia kipengele cha blog inayopendwa.
IMG_0770D’Jaro Arungu akiongea baada ya kutangazwa mshindi
“Mtu yeyote aliyekuwa anashindani halafu anaamini anaweza kupata nafasi lazima imshtue,” Millard ameiambia Bongo5.
IMG_0789Millard Ayo akipokea tuzo ya blog inayopendwa
“Lakini inakushtua kwa njia nzuri kwamba kuna kitu kimemiss au labda unatakiwa ufanyie kazi zaidi. Lakini pia kura zinamata, inachangia sehemu zote, inawezakana ubora wa kipindi na kura pia. Lakini all in all mimi nampongeza sana D’Jaro Arungu, ameshinda kura zote mbili, ni changamoto pia, inatupa nafasi sisi wenyewe kushindana lakini inasaidia pia kufanya kazi kwenye biashara yetu vizuri.”
Wema Sepetu aliyekuwa ametajwa kuwaniwa vipengele vitatu ameibuka na tuzo moja.
IMG_0818Wema Sepetu akipokea tuzo yake ya muigizaji wa filamu anayependwa
“I’m Grateful… I’m humbled…. I’m out of words… Ila nawapenda for making this happen…. Shout out to all my fans out there… Na haters pia…. I say it’s a new beginning.”
IMG_0813
“Therez more to this…. I take it as a challenge and a wake up call to give you guys more of what you want me to give,” ameandika Wema kwenye Instagram baada ya ushindi huo,” aliongeza Wema.
IMG_0792 Ray akishukuru baada ya kutangazwa mshindi wa kipengele cha muongozaji wa filamu anayependwa
IMG_0767Salim Kikeke
IMG_0738Dada wa Alikiba akipokea tuzo kwa niaba ya kaka yake
IMG_0746
IMG_0730Lady Jaydee akishukuru baada ya kushinda tuzo ya mwanamuziki wa kike anayependwa
IMG_0712Miss Tanzania 2014/15, Lilian Kamanzima akimkabidhi tuzo Ommy Dimpoz
IMG_0841
Nancy Sumari akiwapongeza washindi
IMG_0836Luca Neghesti na Nancy Sumari wakifurahia kilele cha tuzo za watu
IMG_0831Shangwe kwa washindi
IMG_0832
IMG_0825
IMG_0688Jacqueline Mengi na Nasreen Karim ni miongoni mwa waliohudhuria
IMG_0686 Joh Makini na Salim Kikeke
IMG_0682 Mtu na binamu yake: Wakazi na Lady Jaydee
IMG_0680
IMG_0672
IMG_0664Luca na Nancy wakizungumzia tuzo za watu 2015

Hii ni orodha kamili ya washindi
Mtangazaji wa redio anayependwa
D’Jaro Arungu – TBC FM

Kipindi cha redio kinachopendwa
Papaso – TBC FM

Mtangazaji wa runinga anayependwa
Salim Kikeke – BBC Swahili

Kipindi cha runinga kinachopendwa
Mkasi – EATV

Blog/Website inayopendwa
Millardayo.com

Muongozaji wa video anayependwa
Hanscana

Muongozaji wa filamu anayependwa
Vincent ‘Ray’ Kigosi

Muigizaji wa kike wa filamu anayependwa
Wema Sepetu

Muigizaji wa kiume wa filamu anayependwa
Hemedy PHD 

Mwanamuziki wa kike anayependwa
Lady Jaydee

Mwanamuziki wa kiume anayependwa
Alikiba

Filamu inayopendwa
Kigodoro

Video ya muziki inayopendwa
Nani kama Mama – Christian Bella f/ Ommy Dimpoz

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.