Aliyemuua simba maarufu Zimbabwe asakwa


Zimbabwe
Msako mkali unaendelea nchini Zimbabwe dhidi ya mwindaji haramu aliyemuua mmoja kati ya simba maarufu nchini humo .
Mtu huyo anaaminiwa kumlipa mmoja wa walinzi wa wanyamapori katika mbuga ya wanyamapori ya Hwange zaidi ya kilomita elfu hamsini kumuua simba huyo 'Cecil the lion' mapema mwezi huu .
Mmoja wa wanaharakati wa wanyamapori Johnny Rodrigues ameiambia BBC kuwa mnyama huyo alidungwa na mkuki na pia kupigwa risasi , kabla ya kukatwa kichwa na kutolewa ngozi .
Simba huyo mwenye umri wa miaka 13 alikua kivutio maarufu katika mbuga hiyo.
Amekua akivalia rangi ya kutambuliwa na setilait aliyovalishwa na watafiti wa chuo kikuu cha Oxford cha Uingereza.
Zimbabwe imekuwa na changamoto ya kukabiliana na wawindaji haramu wa wanyamapori

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.