Arsenal wakishangilia ushindi wa Barclays Asia Trophy 2015


Klabu ya Arsenal imefanikiwa kutwaa taji la Barclays Asia Trophy kwa kuifunga klabu ya Everton kwa jumla ya magoli 3-1.
Magoli ya Arsenal yamefungwa na Theo Walcott dakika 22, Santi Cazorla dakika 58 naMesut Ozil dakika 63 wakati goli pekee la Everton lilifungwa na Ross Barkley dakika ya 76.

Mashindano ya kombe Barclays Asia Trophy yamefanyika kuanzia 15-18 July katika Uwanja wa taifa wa Singapore kwa kushirikisha timu nne ambazo ni Arsenal, Everton, Stoke City na Singapore Selection XI.
Nimekusogezea picha mtu wangu jinsi Arsenal walivyoupokea ubingwa wao.
N

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI