Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi
Taifa Abdalla Bulembo wa kwanza kushoto Mbunge wa Kikwajuni Mhe Hamad
Masauni na Kada wa CCM Abass Bahari wakijiandaa kuelekea kukagua timu
hizo wakati wa Bonaza hilo linaloendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja
usiku kwa micxhezo miwi kila siku.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi
Taifa Mhe Abdalla Bulembo akisalimiana na wachezaji wa timu ya
Muembeladu kabla ya kuaza kwa mchezo huo wa Bonaza katika viwanja vya
mnazi mmoja Zanzibar, Bonaza hilo limedhaminiwa na Mbunge wa Kikwajuni
kuinua vipaji vya Vijana katika mchezo wa Soka Zanzibar.
Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wazazi Taifa Mhe Abdalla Bulembo akisalimiana na
wachezaji wa timu ya Rahaleo,kabla ya kuaza kwa mchezo huo wa Bonaza
katika viwanja vya mnazi mmoja Zanzibar, Bonaza hilo limedhaminiwa na
Mbunge wa Kikwajuni kuinua vipaji vya Vijana katika mchezo wa Soka
Zanzibar.
Kikosi cha timu ya Muembeladu kinachoshiriki michezo ya Bonaza la Kombe la Masauni.
Kikosi cha timu ya Rahaleo,kinachoshiriki michezo ya Bonaza la Kombe la Masauni.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi
Taifa Mhe Abdalla Bulembo akizungumza na wanamichezo wakati wa mchezo
wa Bonaza Kombe la Masauni na kuwataja vijana kukuza michezo ndio
mafanikia yao kujipatia ajira, Michezo huleta amani na utulivu katika
nchi. Na kuahidi timu itakayoshinda katika mchezo huo ataizawadia
shilingi laki moja. kwa bahati mbaya timu hizo zimetoka sare na
kukabidhiwa kila moja shilingi 50,000/- baada ya kumalizika kwa mchezo
huo wa sare ya 2–2
Comments