Mwandishi wa habari mahiri, Mariam Mkubaru amefariki dunia katika ajali ya gari inayodaiwa kutokea jana Ruangwa, mkoani Lindi.
Mtandao huu u;ipotaka kujua zaidi juu kifo hicho, ulichukua jitihada za kupiga kwa namba yake, lakini ilijibiwa na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mama yake ambaye hata hivyo hakuweza kuzungumza zaidi kwani alikuwa analia.
Mkumbaru, amewahi fanyia kazi katika vyombo vya habari vya New Habari, Uhuru na Mzalendo,na The Guardian.
Hadi kifo kinamkabili alikuwa ni Mentor wa Mradi wa Mama Yee unaotekelezwa na UTPC kupitia gazeti la Tuwasiliane
Mtandao huu u;ipotaka kujua zaidi juu kifo hicho, ulichukua jitihada za kupiga kwa namba yake, lakini ilijibiwa na mtu aliyejitambulisha kuwa ni mama yake ambaye hata hivyo hakuweza kuzungumza zaidi kwani alikuwa analia.
Mkumbaru, amewahi fanyia kazi katika vyombo vya habari vya New Habari, Uhuru na Mzalendo,na The Guardian.
Hadi kifo kinamkabili alikuwa ni Mentor wa Mradi wa Mama Yee unaotekelezwa na UTPC kupitia gazeti la Tuwasiliane
Comments