Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni
tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango
mkubwa katika tasnia ya burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha
ukubwa na fursa zilizopo kwenye tasnia ya burudani Africa.
Tuzo hizi zinahusisha reception ya red carpet, live performace za
wasanii, live performance za comdey na ofcoz kugawiwa kwa zawadi kwa
wasanii wanaowania tuzo hizi kwenye vipengele husika.
Comments