Harambee ya ujenzi wa Kanisa la KKKT mkoani Rukwa – yafana

1
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akijadiliana jambo na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa (katikati) na Askofu Ambele Mwaipopo wa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, wakati wa harambee ya ujenzi wa Kanisa la KKKT mkoani Rukwa. Katika harambee hiyo Nyalandu, aliyekuwa mgeni rasmi alichangia sh. Milioni 100. Harambee hiyo ilifanyika jana usiku katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam.
2 3
ASKOFU Ambele Mwaipopo wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Ziwa Tanganyika, akimkabidhi zawadi mbalimbali zilizotolewa na waumini wa kanisa hilo, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, wakati wa harambee ya kuchangia kanisa.
4
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa, akimkabidhi zawadi maalumu aliyopewa na Papa Francis XIV, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ikiwa ni ishara ya kuthamini mchango wa sh. Milioni 100 alioutoa kuchangia ujenzi wa kanisa mjini Sumbawanga.

8
5
WAUMINI wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), waliohudhuria harambee hiyo wakishangilia kwa furaha baada ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, kutangaza kuchangia sh. Milioni 100 kusaidia ujenzi wa kanisa jipya la KKKT mjini Sumbawanga.
6
9
7
BAADHI ya waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), waliohudhuria harambee hiyo wakimsikiliza mgeni rasmi kwenye hafla hiyo, Waziri wa Maliasi na Utalii, Lazaro Nyalandu (hayupo pichani), wakati akihutubia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA