KIKAO CHA KAMATI MAALUM ZANZIBAR YAPITISHA JINA LA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM DK. ALI MOHAMED SHEIN.
MAKAMU
Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na
Makamu wa Rais wa Dkt. Mohammed Gharib Bilal wakati wa Kikao cha Kamati
Maalum ya CCM Zanzibar ilokutana kupitisha Jina la Mgombea wa Urais wa
Zanzibar.
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar kupitisha Jina
la Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndg Vuai Ali, akitoa maelezo ya kikao hicho cha Kamati Maalumu ya CCM Zanzibar.
WAJUMBE
wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ofisi
Kuu ya CCM Kisiwandua kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya
Urais wa Zanzibar Dk. Shein.
MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akiwa
katika picha ya pamoja na wajumbe Kamati Maalum ya CCM Zanzibar baada
ya kupitisha Jina lake kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Comments